News and Resources Change View → Listing

Uvuvi endelevu utawasaidia wavuvi kuondokana na umasikini – Balozi Manongi

Tanzania, kupitia Mwakilishi wake wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, imeelezea kuridhishwa kwake na namna ambavyo Mashirika ya Kimataifa naTaasisi binafsi zinavyoshirikiana na kwa karibu…

Read More

Wenye silaha za nyukilia tuhakikishieni usalama wetu – Tanzania

Udhibiti wa silaha za nyukilia na tishio la mataifa mengine la kujilimbikiza silaha hizo limendelea kuchukua sehemu kubwa ya majadiliano katika duru za Umoja wa Mataifa.Kwa mara nyingine tena mataifa yanayo…

Read More

Mamlaka zinazohusu operationi za ulinzi wa amani ziwe wazi – Jenerali Mwamunyange

Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange, amelishauri Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, kuweka bayana na kwa uwazi mamlaka ( mandate) ambayo misheni ya kulinda…

Read More

Afya ya mama na mtoto ni ajenda endelevu

Kundi la Nchi Marafiki kuhusu afya ya mama na mtoto limekutana na kufanya kikao chake cha kwanza na kukubaliana kwa kauli moja kwamba mama anapokuwa na afya njema anakuwa na uhakika wa maisha yake na maisha ya…

Read More

Integrating crime prevention and criminal justice in the post 2015 development agenda to be held on 25 February 2015

“You’re Excellency,Madam ChairI would like to start by expressing my gratitude to H.E. Sam Kutesa, the President of the General Assembly, the Government of Qatar and Partners for supporting discussions…

Read More

Deputy Secretary-General’s remarks at High-Level Thematic Debate on means of implementation for a transformative post-2015 development agenda

I thank the President of the General Assembly for convening this important debate, where I am honoured to represent the Secretary-General.This is a crucial year for global action to secure a sustainable future…

Read More

UN Tanzania Chief condemns abduction and murder of child with albinism

Mr. Alvaro Rodriguez – UN Resident Coordinator & UNDP Resident RepresentativeOver the last two months, Tanzania has witnessed two abductions of young children in the Lake Zone. In December, the abduction…

Read More

Ambassador Tuvako Manongi, During the Second Committee Debate on Macro Economic Issues of the 67th Session of the United Nations General Assembly

STATEMENT BY AMBASSADOR TUVAKO MANONGI, PERMANENT REPRESENTATIVE OF THE PERMANENT MISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TO THE UNITED NATIONS DURING THE SECOND COMMITTEE DEBATE ON MACRO ECONOMIC ISSUES OF…

Read More