TANZANIA YAUNGA MKONO MAAZIMIO YA UN KUTAFUTA AMANI YA KUDUMU MASHARIKI YA KATI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza kuunga mkono kikamilifu maazimio yote ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) na jitihada za kimataifa zinazolenga kuleta amani ya kudumu katika ukanda wa Mashariki ya… Read More












