News and Resources Change View → Listing

Tanzania yataka iachiwe fursa ya kupanga na kuchagua miradi ya maendeleo

Tanzania imetoa wito kwa washirika wa maendeleo yakiwamo Mashirika ya Umoja wa Mataifa kuiachia nafasi ya kupanga na kuchagua miradi yake ya maendeleo kwa kuzingatia vipaumbele vyake.Wito huo umetolewa na…

Read More

Tanzania yataka Umoja wa Mataifa kuzingatia misingi iliyojiwekea

Wakati Tanzania ikipongeza, kusifu na kushukuru uhusiano na ushirikiano wake na Umoja wa Mataifa kupitia Mifuko na Mashirika yake ya Maendeleo, imeutaka pia Umoja huo kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia,…

Read More

Tanzania kukumbwa na mafuriko ya El-Nino – Umoja wa Mataifa

Umoja wa Mataifa umetahadharisha kwamba Tanzania ni kati ya nchi kadhaa ambazo zinauwezekano mkubwa wa kukumbwa na mafuriko yatakayosababishwa na El- Nino.Kwa mujibu wa Taarifa ya Katibu Mkuu Msaidizi…

Read More

Idadi ya mabalozi wanawake katika Umoja wa Mataifa bado ni ndogo – Mogens

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, jana jumatatu limeadhimisha miaka 70 tangu mkutano wa kwanza wa Baraza hilo ulipofanyika January 10, 1946 huko Westminister, London, Uingereza.Pamoja na kuzungumzia mafanikio na…

Read More

Jumuiya ya kimataifa ijizatiti kukabiliana na magonjwa ya milipuko-Tanzania

Mwishoni mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio linalotathmini utayari wa nchi wanachama kukabiliana na…

Read More

Statement by Ambassador Tuvako N. Manongi, on the overall review of the implementation of the outcomes of the World Summit on the Information Society (WSIS), New York, 15 – 16 December 2015

Mr. President,The United Republic of Tanzania associates itself with the statement by the Minister of Telecommunications and Postal Services of South Africa on behalf of the G77 and China.We also join in…

Read More

Statement by Ambassador Ramadhan Mwinyi on Culture of Peace

Mr. President,My delegation welcomes the opportunity to participate in today’s debate on a very important subject of peace – fostering a culture of peace.We see today’s meeting as an opportunity to…

Read More

Azimio kuhusu watu wenye ualibino lapitishwa kwa kauli moja

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewashukuru wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa kupitisha kwa kauli moja Azimio linalotaka pamoja na mambo mengine Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa…

Read More