News and Resources Change View → Listing

Rushwa Umoja wa Mataifa haitavumiliwa – Ban Ki Moon

Tuhuma za rushwa zinazoambatana ukwepaji kodi zinazomkabili aliyekuwa Rais wa Baraza Kuu la 68 la Umoja wa Mataifa, Bw. John Ashe , siyo tu , zimeitingisha Moja ya Taasisi Kubwa duniani katika nyanja ya…

Read More

Baraza kuu la usalama la Umoja wa Mataifa laijadili Burundi

Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani vikali hali ya kuendelea kwa matukio ya mauaji, utesaji na vitendo vingine vya vinavyokiuka haki za binadamu nchini Burundi.Pamoja na kukemea hali hiyo,…

Read More

Marekebisho baraza kuu la usalama yataongeza tija – Tanzania

Tanzania imekaribisha juhudi zinazochuliwa na Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa za kuboresha uwazi na utendaji wenye tija wa chombo hicho juhudi ambazo pia zinahusisha mijadala ya wazi.Hayo yameelezwa…

Read More

Michezo huleta amani, upendo na kuheshimiana -Tanzania

Imeelezwa kwamba michezo ya aina yoyote ile kuanzia mpira wa miguu hadi mchezo wa bao, ikutumiwa vema na kwa uzito unaostahili ni moja ya eneo ambalo linaweza kuchangia katika siyo tu kuchochea kasi ya…

Read More

Tanzania na Malawi za wasilisha rasimu ya azimio kuhusu watu wenye ualbino

Kutokana na changamoto mbalimbali zinazowakabili watu wenye ualibino, Wakilishi za Kudumu za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Malawi katika Umoja wa Matifa, zimewasilisha rasimu ya azimo kuhusu…

Read More

Watoto bado wanaendelea kudhulumiwa utoto wao- Umoja wa Mataifa

Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wakijadili haki za mtoto. Tatizo la haki za mtoto lipo sehemu mbalimbali duniani. Umoja wa Mataifa umedhamiria kupinga matumizi mabaya ya watoto kama vile…

Read More

Baraza Kuu la Usalama lajadili nafasi ya mwanamke katika ujenzi wa amani na usalama

Kwa siku nzima ya jumanne, Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, lilikutana kwa majadiliano kuhusu nafasi ya ushiriki wa mwanamke katika masuala ya Amani na Usalama, kwa mujibu wa Azimio maarufu namba…

Read More

Kamisheni ya haki za binadamu kushirikiana na serikali katika kukabiliana na ukatili dhidi ya watu wenye ualibino

Siku moja baada ya Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kuelezea kwa waandishi wa habari juhudi zinazofanywa na serikali dhidi uovu wanaofanyiwa watu wenye ualibio.Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa…

Read More