News and Events Change View → Listing

Changamoto na athari zitokanazo na dawa za kulevya kujadiliwa 2016

Jumuiya ya Kimataifa inajiaanda kwa mkutano maalum na wa aina yake kufanyika, ambapo nchi wanachama watakutana na kujadiliana kwa kina kuhusu changamoto na adhari kubwa zitokanazo na biashara haramu na…

Read More
BAN KI MOON SALUTES PRESIDENT KIKWETE

Ban Ki Moon salutes president Kikwete

The following is a congratulatory message from Ban Ki Moon, Secretary General of the United Nations to H.E. Jakaya Mrisho Kikwete President of the United Republic of Tanzania on the occasion of the Union Day…

Read More

Ban Ki Moon awageukia viongozi wa madhehebu ya dini – Awasihi kukuza na kuenzi kuvumiliana, maridhiano na majadiliano

Kufuatia ongezeko la makundi ya dini yenye itikadi , matukio ya kigaidi, kukosekana kuvumiliana na maridhiano, Katibu Mkuu wa wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amewageukia viongozi wa madhebu ya mbalimbali…

Read More

Tanzania yashiriki mkutano wa kamisheni kuhusu idadi ya watu na maendeleo

Mkutano wa 48 wa Kamisheni kuhusu idadi ya watu na maendeleo (CPD) unaendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, ambapo wajumbe kutoka nchi 47 zinazounda Kamisheni hiyo wamekuwa wakibadilishana mawazo,…

Read More

Uvuvi endelevu utawasaidia wavuvi kuondokana na umasikini – Balozi Manongi

Tanzania, kupitia Mwakilishi wake wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, imeelezea kuridhishwa kwake na namna ambavyo Mashirika ya Kimataifa naTaasisi binafsi zinavyoshirikiana na kwa karibu…

Read More

Wenye silaha za nyukilia tuhakikishieni usalama wetu – Tanzania

Udhibiti wa silaha za nyukilia na tishio la mataifa mengine la kujilimbikiza silaha hizo limendelea kuchukua sehemu kubwa ya majadiliano katika duru za Umoja wa Mataifa.Kwa mara nyingine tena mataifa yanayo…

Read More

Mamlaka zinazohusu operationi za ulinzi wa amani ziwe wazi – Jenerali Mwamunyange

Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange, amelishauri Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, kuweka bayana na kwa uwazi mamlaka ( mandate) ambayo misheni ya kulinda…

Read More

Afya ya mama na mtoto ni ajenda endelevu

Kundi la Nchi Marafiki kuhusu afya ya mama na mtoto limekutana na kufanya kikao chake cha kwanza na kukubaliana kwa kauli moja kwamba mama anapokuwa na afya njema anakuwa na uhakika wa maisha yake na maisha ya…

Read More