News and Events Change View → Listing

CAG aongoza kikao cha bodi ya wakaguzi ya Umoja wa Mataifa

Bodi ya Ukaguzi wa Hesabu za Mashirika ya Umoja wa Mataifa , imemaliza mkutano wake wa siku mbili kwa kurejea na kupitisha taarifa 28 za ukaguzi.Taarifa 22 kati ya hizo zitawasilishwa mbele ya Baraza Kuu la…

Read More

MONUSCO yahitaji ushirikiano wa karibu zaidi na DRC

Uwezo wa Misheni ya Ulinzi wa Amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) wa kutekeleza mamlaka yake kikamilifu utategemea zaidi ushirikiano na uhusiwano wake na mamlaka za nchi hiyo.Hayo…

Read More
UN-Logo

Opportunity for young Tanzanian professionals to participate in United Nations Young Professional Programme

What is the UN Young Professionals Programme?The Young Professionals Programme (YPP) is a recruitment initiative for talented, highly qualified professionals to start a career as an international civil servant…

Read More

Ban Ki Moon atiwa moyo na mazungumzo ya kisiasa kuhusu Burundi

Wakati hali ya kisiasa na kiusalama ikiendelea kuwa ya sintofahamu Nchini Burundi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, ameelezea kutiwa moyo na juhudi mbambali zinazolenga kurejesha hali ya amani na…

Read More

Tanzania na Ecuador zaanzisha uhusiano wa kidplomasia

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Ecuador zimekubaliana kuanzisha uhusiano wa kudiplomasia katika ngazi ya Mabalozi.Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi,…

Read More

Matukio mbalimbali – Tanzania Umoja wa Mataifa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Malta zimekubaliana kuanzisha uhusiano wa kidiplomasiaJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Malta zimekubaliana kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia baina…

Read More

Umoja wa mataifa wa waenzi walinda amani wake

Akizungumza kwa masikitiko makubwa wakati wa hafla hiyo, Katibu Mkuu, Ban Ki Moon, amesema, katika maadhimisho yote yanayofanyika katika Umoja wa Mataifa, hakuna adhimisho lenye kutia simanzi na ngumu kama…

Read More

Tanzania katika umoja wa mataifa wiki hii

Umoja wa Mataifa wiki hii, umekamilisha mikutano muhimu miwili kati ya mingi, ambapo ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulioshiriki majadiliano ya mikutano hiyo waliiwakilisha vema nchi yao.Moja ya…

Read More