News and Events Change View → Listing

Afrika kuzingatia vipaumbele vyake wakati wa kutekeleza malengo na ajenda mpya za maendeleo

Afrika, imesisitiza na kubainisha kwamba itatekeleza malengo mapya ya maendeleo endelevu kwa kuzingatia maslahi, vipaumbele, sera, mila na tamaduni ambazo nchi za Afrika zimejiwekea.Aidha Afrika inasema kuwa,…

Read More

Maspika wa mabunge duniani wakutana Umoja wa Mataifa

Mkutano wa Nne unaowakutanisha Maspika 180 na Manaibu Spika 35 kutoka nchi 140, unaanza leo (jumatatu) hapa Makao Mkuu ya Umoja wa Mataifa.Mkutano huu wa siku tatu na ambao umeandaliwa na Chama cha Mabunge…

Read More

Hubirini amani, usalama, demokrasia na maendeleo endelevuwatu – Ban Ki-moon

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amewaasa Maspika wa Mabunge Duniani kuhakikisha kwamba wanakuwa mstari wa mbele katika utekelezaji wa Malengo na Ajenda Mpya za Maendeleo Endelevu, kwa kushirikiana na Serikali…

Read More

Chuo kikuu Dodoma kumuenzi raisi Kikwete

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinatarajia kufanya hafla ya aina yake ya kumuenzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kama sehemu ya kutambua mchango wake wa hali na mali…

Read More

Nchi wanachama wapitisha tamko kuhusu agenda mpya ya maendeleo endelevu

Baaada ya majadiliano makali yaliyodumu kwa wiki mbili na wakati mwingine wajumbe kulazimika kukesha hadi asubuhi. Hatimaye nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa, Jumapili usiku (Agosti mbili), wamepitisha kwa…

Read More

Umoja wa Mataifa wapitisha kwa kauli moja azimio dhidi ya ujangili wa wanyama pori

Kwa mara ya kwanza jana alhamisi Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha kwa kauli moja, azimio la kihistoria linalolenga pamoja na mambo ya mengine kuitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana kwa karibu…

Read More

CAG aongoza kikao cha bodi ya wakaguzi ya Umoja wa Mataifa

Bodi ya Ukaguzi wa Hesabu za Mashirika ya Umoja wa Mataifa , imemaliza mkutano wake wa siku mbili kwa kurejea na kupitisha taarifa 28 za ukaguzi.Taarifa 22 kati ya hizo zitawasilishwa mbele ya Baraza Kuu la…

Read More

MONUSCO yahitaji ushirikiano wa karibu zaidi na DRC

Uwezo wa Misheni ya Ulinzi wa Amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) wa kutekeleza mamlaka yake kikamilifu utategemea zaidi ushirikiano na uhusiwano wake na mamlaka za nchi hiyo.Hayo…

Read More