News and Events Change View → Listing

Hubirini amani, usalama, demokrasia na maendeleo endelevuwatu – Ban Ki-moon

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amewaasa Maspika wa Mabunge Duniani kuhakikisha kwamba wanakuwa mstari wa mbele katika utekelezaji wa Malengo na Ajenda Mpya za Maendeleo Endelevu, kwa kushirikiana na Serikali…

Read More

Chuo kikuu Dodoma kumuenzi raisi Kikwete

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinatarajia kufanya hafla ya aina yake ya kumuenzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kama sehemu ya kutambua mchango wake wa hali na mali…

Read More

Nchi wanachama wapitisha tamko kuhusu agenda mpya ya maendeleo endelevu

Baaada ya majadiliano makali yaliyodumu kwa wiki mbili na wakati mwingine wajumbe kulazimika kukesha hadi asubuhi. Hatimaye nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa, Jumapili usiku (Agosti mbili), wamepitisha kwa…

Read More

Umoja wa Mataifa wapitisha kwa kauli moja azimio dhidi ya ujangili wa wanyama pori

Kwa mara ya kwanza jana alhamisi Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha kwa kauli moja, azimio la kihistoria linalolenga pamoja na mambo ya mengine kuitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana kwa karibu…

Read More

CAG aongoza kikao cha bodi ya wakaguzi ya Umoja wa Mataifa

Bodi ya Ukaguzi wa Hesabu za Mashirika ya Umoja wa Mataifa , imemaliza mkutano wake wa siku mbili kwa kurejea na kupitisha taarifa 28 za ukaguzi.Taarifa 22 kati ya hizo zitawasilishwa mbele ya Baraza Kuu la…

Read More

MONUSCO yahitaji ushirikiano wa karibu zaidi na DRC

Uwezo wa Misheni ya Ulinzi wa Amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) wa kutekeleza mamlaka yake kikamilifu utategemea zaidi ushirikiano na uhusiwano wake na mamlaka za nchi hiyo.Hayo…

Read More
UN-Logo

Opportunity for young Tanzanian professionals to participate in United Nations Young Professional Programme

What is the UN Young Professionals Programme?The Young Professionals Programme (YPP) is a recruitment initiative for talented, highly qualified professionals to start a career as an international civil servant…

Read More

Ban Ki Moon atiwa moyo na mazungumzo ya kisiasa kuhusu Burundi

Wakati hali ya kisiasa na kiusalama ikiendelea kuwa ya sintofahamu Nchini Burundi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, ameelezea kutiwa moyo na juhudi mbambali zinazolenga kurejesha hali ya amani na…

Read More