News and Events Change View → Listing

Mawaziri wa nishati wajadili nishati endelevu kwa wote

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaamini kwamba, utekelezaji wa mipango na malengo ya mbalimbali ya maendeleo hayataweza kupatika au kufikiwa kwa haraka pasi na uwepo wa nishati endelevu na kwa wote.Ni…

Read More

Hakuna maendeleo bila nishati ya uhakika – Mhe. Kitwanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaamini kwamba, utekelezaji wa mipango na malengo ya mbalimbali ya maendeleo hayataweza kupatika au kufikiwa kwa haraka pasi na uwepo wa nishati endelevu na kwa wote.Ni…

Read More

Changamoto na athari zitokanazo na dawa za kulevya kujadiliwa 2016

Jumuiya ya Kimataifa inajiaanda kwa mkutano maalum na wa aina yake kufanyika, ambapo nchi wanachama watakutana na kujadiliana kwa kina kuhusu changamoto na adhari kubwa zitokanazo na biashara haramu na…

Read More
BAN KI MOON SALUTES PRESIDENT KIKWETE

Ban Ki Moon salutes president Kikwete

The following is a congratulatory message from Ban Ki Moon, Secretary General of the United Nations to H.E. Jakaya Mrisho Kikwete President of the United Republic of Tanzania on the occasion of the Union Day…

Read More

Ban Ki Moon awageukia viongozi wa madhehebu ya dini – Awasihi kukuza na kuenzi kuvumiliana, maridhiano na majadiliano

Kufuatia ongezeko la makundi ya dini yenye itikadi , matukio ya kigaidi, kukosekana kuvumiliana na maridhiano, Katibu Mkuu wa wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amewageukia viongozi wa madhebu ya mbalimbali…

Read More

Tanzania yashiriki mkutano wa kamisheni kuhusu idadi ya watu na maendeleo

Mkutano wa 48 wa Kamisheni kuhusu idadi ya watu na maendeleo (CPD) unaendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, ambapo wajumbe kutoka nchi 47 zinazounda Kamisheni hiyo wamekuwa wakibadilishana mawazo,…

Read More

Uvuvi endelevu utawasaidia wavuvi kuondokana na umasikini – Balozi Manongi

Tanzania, kupitia Mwakilishi wake wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, imeelezea kuridhishwa kwake na namna ambavyo Mashirika ya Kimataifa naTaasisi binafsi zinavyoshirikiana na kwa karibu…

Read More

Wenye silaha za nyukilia tuhakikishieni usalama wetu – Tanzania

Udhibiti wa silaha za nyukilia na tishio la mataifa mengine la kujilimbikiza silaha hizo limendelea kuchukua sehemu kubwa ya majadiliano katika duru za Umoja wa Mataifa.Kwa mara nyingine tena mataifa yanayo…

Read More