News and Events Change View → Listing

Kamisheni ya haki za binadamu kushirikiana na serikali katika kukabiliana na ukatili dhidi ya watu wenye ualibino

Siku moja baada ya Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kuelezea kwa waandishi wa habari juhudi zinazofanywa na serikali dhidi uovu wanaofanyiwa watu wenye ualibio.Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa…

Read More

Tanzania calls for a stronger relationship between Un and regional and sub-regional organization

The General Assembly of the United Nations, met on Monday to discuss among other issues, the agenda item strengthening of the United Nations system, for which it had before it a report of the Secretary-General…

Read More

Mhe. Pindi Chana amkabidhi Raisi wa Baraza Kuu la Un tamko la kutokomeza ndoa za utotoni

Mtandao wa Kimataifa wa Wabunge kutoka Mabunge mbalimbali Duniani (PGA), umemkabidhi Rais wa Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mataifa Bw. Mogens Lykketoft, tamko la kukomesha ndoa za utotoni na za kulazimishwa kwa…

Read More

Marais wa mahakama za kimataifa za mauaji ya kimbari wampongea Mh. Raisi Jakaya Kikwete, Tanzania kwa ushirikiano

Wakati majukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ( ICTR) yakifikia ukingoni mwishoni mwa mwaka huu, hatima ya wafungwa waliomaliza vifungo vyao na wale walioachiwa huru bado…

Read More

Tunajitahidi kutekeleza sera na mipango ya maendeleo jumuishi -Tanzania

Ikiwa ni Wiki moja kupita tangu Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali kutoka Mataifa mbalimbali Dunia, kuhitimisha ushiriki wao katika mikutano muhimu mikuu miwili, upitishwaji wa Malengo Mapya ya Maendeleo…

Read More

NGO ya Tanzania yanyakua tuzo la Umoja wa Mataifa

Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) ni kati ya Asasi 21 ambazo jana ( jumatatu) zimetangawa kuwa washindi wa Tuzo ya Ikweta (Equator Prize ) kwa mwaka 2015.Tuzo hiyo ya Ikwete…

Read More

Mkutano na.69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wamalizika kwa kishindo

Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, uliokuwa chini ya urais wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda Bw, Sam Kutesa umefikia ukingoni siku ya jumatatu kwa kupitisha maamuzi ya kihistoria ambayo pamoja…

Read More

JK kueleza maendeleo kazi ya jopo analoliongoza

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Ngazi ya Juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Kiafya, anatarajiwa Ijumaa wiki hii, kueleza mbele ya wajumbe wa nchi wanachama wa Umoja wa…

Read More