News and Events Change View → Listing

Jumuiya ya kimataifa ijizatiti kukabiliana na magonjwa ya milipuko-Tanzania

Mwishoni mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio linalotathmini utayari wa nchi wanachama kukabiliana na…

Read More

Azimio kuhusu watu wenye ualibino lapitishwa kwa kauli moja

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewashukuru wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa kupitisha kwa kauli moja Azimio linalotaka pamoja na mambo mengine Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa…

Read More

Tanzania yataka mashirika ya Umoja wa Mataifa kutekeleza kwa vitendo dhana ya uwazi na uwajibikaji

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetoa wito kwa Mashirika ya Umoja wa Mataifa, ikiwamo Baraza la Haki za Binadamu kuitekeleza kwa vitendo dhana ya uwazi na uwajibikaji.Tanzania imesisitiza pia kwamba,…

Read More

Baraza kuu la usalama la Umoja wa Mataifa laijadili Burundi

Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani vikali hali ya kuendelea kwa matukio ya mauaji, utesaji na vitendo vingine vya vinavyokiuka haki za binadamu nchini Burundi.Pamoja na kukemea hali hiyo,…

Read More

Marekebisho baraza kuu la usalama yataongeza tija – Tanzania

Tanzania imekaribisha juhudi zinazochuliwa na Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa za kuboresha uwazi na utendaji wenye tija wa chombo hicho juhudi ambazo pia zinahusisha mijadala ya wazi.Hayo yameelezwa…

Read More

Tanzania na Malawi za wasilisha rasimu ya azimio kuhusu watu wenye ualbino

Kutokana na changamoto mbalimbali zinazowakabili watu wenye ualibino, Wakilishi za Kudumu za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Malawi katika Umoja wa Matifa, zimewasilisha rasimu ya azimo kuhusu…

Read More

Watoto bado wanaendelea kudhulumiwa utoto wao- Umoja wa Mataifa

Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wakijadili haki za mtoto. Tatizo la haki za mtoto lipo sehemu mbalimbali duniani. Umoja wa Mataifa umedhamiria kupinga matumizi mabaya ya watoto kama vile…

Read More

Baraza Kuu la Usalama lajadili nafasi ya mwanamke katika ujenzi wa amani na usalama

Kwa siku nzima ya jumanne, Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, lilikutana kwa majadiliano kuhusu nafasi ya ushiriki wa mwanamke katika masuala ya Amani na Usalama, kwa mujibu wa Azimio maarufu namba…

Read More