News and Events Change View → Listing

Umoja wa Mataifa wamkumbuka na kuenzi mchango wa Boutros Boutros-Ghali

Jumuiya ya Kimataifa imemuelezea aliyekuwa Katibu Mkuu wa Sita wa Umoja wa Mataifa, Marehemu Boutros Boutros- Ghali, kama kiongozi ambaye siyo tu alifanya kazi katika mazingira magumu lakini pia alitoa mchango…

Read More

Tanzania yataka iachiwe fursa ya kupanga na kuchagua miradi ya maendeleo

Tanzania imetoa wito kwa washirika wa maendeleo yakiwamo Mashirika ya Umoja wa Mataifa kuiachia nafasi ya kupanga na kuchagua miradi yake ya maendeleo kwa kuzingatia vipaumbele vyake.Wito huo umetolewa na…

Read More

Tanzania yataka Umoja wa Mataifa kuzingatia misingi iliyojiwekea

Wakati Tanzania ikipongeza, kusifu na kushukuru uhusiano na ushirikiano wake na Umoja wa Mataifa kupitia Mifuko na Mashirika yake ya Maendeleo, imeutaka pia Umoja huo kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia,…

Read More

Tanzania kukumbwa na mafuriko ya El-Nino – Umoja wa Mataifa

Umoja wa Mataifa umetahadharisha kwamba Tanzania ni kati ya nchi kadhaa ambazo zinauwezekano mkubwa wa kukumbwa na mafuriko yatakayosababishwa na El- Nino.Kwa mujibu wa Taarifa ya Katibu Mkuu Msaidizi…

Read More

Idadi ya mabalozi wanawake katika Umoja wa Mataifa bado ni ndogo – Mogens

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, jana jumatatu limeadhimisha miaka 70 tangu mkutano wa kwanza wa Baraza hilo ulipofanyika January 10, 1946 huko Westminister, London, Uingereza.Pamoja na kuzungumzia mafanikio na…

Read More

Jumuiya ya kimataifa ijizatiti kukabiliana na magonjwa ya milipuko-Tanzania

Mwishoni mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio linalotathmini utayari wa nchi wanachama kukabiliana na…

Read More

Azimio kuhusu watu wenye ualibino lapitishwa kwa kauli moja

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewashukuru wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa kupitisha kwa kauli moja Azimio linalotaka pamoja na mambo mengine Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa…

Read More

Tanzania yataka mashirika ya Umoja wa Mataifa kutekeleza kwa vitendo dhana ya uwazi na uwajibikaji

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetoa wito kwa Mashirika ya Umoja wa Mataifa, ikiwamo Baraza la Haki za Binadamu kuitekeleza kwa vitendo dhana ya uwazi na uwajibikaji.Tanzania imesisitiza pia kwamba,…

Read More