Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais UNGA76 na mjumbe wa ECOSOC
Tanzania imechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA utakaoanza tarehe mosi mwezi Septemba mwaka huu.Kwa mujibu wa Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa…
Read More






