News and Events Change View → Listing

Palestina kupepesha bendera yake makao makuu ya Umoja wa Mataifa

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, jana Alhamis, limepitisha Azimio ambalo kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa Umoja huo, litaruhusu nchi ambazo siyo mwanachama kamili kupeperusha bendera yake katika Makao…

Read More

Mabunge yatakiwa kusimamia utekelezaji wa malengo mapya ya maendeleo endelevu

Maspika wa Mabunge kutoka mataifa mbalimbali duniani, wamemaliza mkutano wao wa Nne kwa kupitisha tamko ambalo pamoja na mambo mengine, linayataka Mabunge kuhakikisha yanasimamia na kufuatilia kwa karibu…

Read More

Afrika kuzingatia vipaumbele vyake wakati wa kutekeleza malengo na ajenda mpya za maendeleo

Afrika, imesisitiza na kubainisha kwamba itatekeleza malengo mapya ya maendeleo endelevu kwa kuzingatia maslahi, vipaumbele, sera, mila na tamaduni ambazo nchi za Afrika zimejiwekea.Aidha Afrika inasema kuwa,…

Read More

Maspika wa mabunge duniani wakutana Umoja wa Mataifa

Mkutano wa Nne unaowakutanisha Maspika 180 na Manaibu Spika 35 kutoka nchi 140, unaanza leo (jumatatu) hapa Makao Mkuu ya Umoja wa Mataifa.Mkutano huu wa siku tatu na ambao umeandaliwa na Chama cha Mabunge…

Read More

Hubirini amani, usalama, demokrasia na maendeleo endelevuwatu – Ban Ki-moon

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amewaasa Maspika wa Mabunge Duniani kuhakikisha kwamba wanakuwa mstari wa mbele katika utekelezaji wa Malengo na Ajenda Mpya za Maendeleo Endelevu, kwa kushirikiana na Serikali…

Read More

Chuo kikuu Dodoma kumuenzi raisi Kikwete

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinatarajia kufanya hafla ya aina yake ya kumuenzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kama sehemu ya kutambua mchango wake wa hali na mali…

Read More

Nchi wanachama wapitisha tamko kuhusu agenda mpya ya maendeleo endelevu

Baaada ya majadiliano makali yaliyodumu kwa wiki mbili na wakati mwingine wajumbe kulazimika kukesha hadi asubuhi. Hatimaye nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa, Jumapili usiku (Agosti mbili), wamepitisha kwa…

Read More

Umoja wa Mataifa wapitisha kwa kauli moja azimio dhidi ya ujangili wa wanyama pori

Kwa mara ya kwanza jana alhamisi Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha kwa kauli moja, azimio la kihistoria linalolenga pamoja na mambo ya mengine kuitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana kwa karibu…

Read More