News and Events Change View → Listing

Tunajitahidi kutekeleza sera na mipango ya maendeleo jumuishi -Tanzania

Ikiwa ni Wiki moja kupita tangu Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali kutoka Mataifa mbalimbali Dunia, kuhitimisha ushiriki wao katika mikutano muhimu mikuu miwili, upitishwaji wa Malengo Mapya ya Maendeleo…

Read More

NGO ya Tanzania yanyakua tuzo la Umoja wa Mataifa

Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) ni kati ya Asasi 21 ambazo jana ( jumatatu) zimetangawa kuwa washindi wa Tuzo ya Ikweta (Equator Prize ) kwa mwaka 2015.Tuzo hiyo ya Ikwete…

Read More

Mkutano na.69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wamalizika kwa kishindo

Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, uliokuwa chini ya urais wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda Bw, Sam Kutesa umefikia ukingoni siku ya jumatatu kwa kupitisha maamuzi ya kihistoria ambayo pamoja…

Read More

JK kueleza maendeleo kazi ya jopo analoliongoza

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Ngazi ya Juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Kiafya, anatarajiwa Ijumaa wiki hii, kueleza mbele ya wajumbe wa nchi wanachama wa Umoja wa…

Read More

Palestina kupepesha bendera yake makao makuu ya Umoja wa Mataifa

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, jana Alhamis, limepitisha Azimio ambalo kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa Umoja huo, litaruhusu nchi ambazo siyo mwanachama kamili kupeperusha bendera yake katika Makao…

Read More

Mabunge yatakiwa kusimamia utekelezaji wa malengo mapya ya maendeleo endelevu

Maspika wa Mabunge kutoka mataifa mbalimbali duniani, wamemaliza mkutano wao wa Nne kwa kupitisha tamko ambalo pamoja na mambo mengine, linayataka Mabunge kuhakikisha yanasimamia na kufuatilia kwa karibu…

Read More

Afrika kuzingatia vipaumbele vyake wakati wa kutekeleza malengo na ajenda mpya za maendeleo

Afrika, imesisitiza na kubainisha kwamba itatekeleza malengo mapya ya maendeleo endelevu kwa kuzingatia maslahi, vipaumbele, sera, mila na tamaduni ambazo nchi za Afrika zimejiwekea.Aidha Afrika inasema kuwa,…

Read More

Maspika wa mabunge duniani wakutana Umoja wa Mataifa

Mkutano wa Nne unaowakutanisha Maspika 180 na Manaibu Spika 35 kutoka nchi 140, unaanza leo (jumatatu) hapa Makao Mkuu ya Umoja wa Mataifa.Mkutano huu wa siku tatu na ambao umeandaliwa na Chama cha Mabunge…

Read More