News and Events Change View → Listing

Mhe. Doroth Gwajima - Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum akihudhuria Mkutano wa 66 wa Hali ya Wanawake Duniani .

Mhe. Doroth Gwajima - Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum aongoza ujumbe wa Washiriki kutoka Tanzania kwenye Mkutano wa 66 wa Hali ya Wanawake Duniani (Commission for the Status of…

Read More

Tanzania na Mwakilishi wake katika UN wateuliwa kuongoza majukumu katika ECOSOC

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa la masuala ya Kiuchumi na Kijamii, ECOSOC, Collen Vixen Kelapile ameiteua nchi ya Tanzania kuwa Mwenyekiti Mwenza wa Jukwaa la Saba la Wadau Mbalimbali wa masuala ya…

Read More

Tanzania yaahidi Kuiunga Mkono Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu

Tanzania kuendelea kuiunga mkono Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu na watu katika kuhakikisha utoaji haki kwa wananchi unatekelezeka kwa wakati, uwazi na uadilifu.Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya…

Read More