Mhe. Balozi Togolani Edriss Mavura awasili katika kituo cha kazi New York
Mhe. Balozi Togolani Edriss Mavura, Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa, alipowasili Jijini New York na kupokelewa na Mkuu wa Utawala wa ofisi hizo Bw. Joachim C. Otaru.
